Watoto watatu wafariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi.
Watoto watatu wenye umri kati ya miezi mitano na miaka 13 wakazi wa kitongoji cha Kibong'wa wilayani Kisarawe wamekufa papohapo baada ya kufunikwa na kifusi cha udongo .
View ArticleTAARIFA YA HOSPITALI YA MUHIMBILI KUHUSU HABARI YA GAZETI LA RAI KUMHUSU DK...
Awali ya yote Hospitali ya Taifa Muhimbili inapenda kutoa salamu za rambirambi kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki wa Dkt. Sengondo Mvungi aliyefariki katika Hospitali ya Millpark,...
View ArticleKURASA ZA LEO:::WEMA,JOKATE WAMPONZA DIAMOND::
................................millard ayo
View ArticleSOMA KWA KINA ZAIDI HAPA:::WEMA, JOKATE WAMPONZA DIAMOND
Gumzo kubwa kwenye harusi ya staa wa dunia katika Kundi la P-Square wanaotarajiwa kuangusha shoo Bongo kesho, Peter Okoye mwishoni mwa wiki iliyopita, ni mwaliko wa msanii pekee wa Bongo, Nasibu Abdul...
View ArticleFUMANIZI LA JB UTATA MTUPU
LILE sakata la madai kwamba, staa mkubwa wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘ JB’ amenaswa akiwa na mke wa mtu mjini Dodoma limeingia katika sura tofauti baada ya habari yenyewe kujaa utata.Habari za...
View ArticleLORI LAUA MADEREVA WA BODABODA WATANO
Waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda watano wa kituo cha Picha ya Ndege Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, wamekufa baada ya kugongana uso kwa usoni la lori.Bodaboda hao walipatwa na mkasa huo wakati...
View ArticleANGALIA VIDEO YA MFANYABISHARA ALIYEUA MWANAMKE MMOJA NA KUJERUHI WATU WATATU...
Mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni mfanyabishara wa magari kutoka jijini Mwanza,amemuua mwanamke mmoja na kujeruhi vibaya watu watatu kwa kuwapiga risasi sehemu mbalimbali za miili yao katika eneo la ilala...
View ArticleZITTO KABWE NA DK. KITILA WAVULIWA VYEO VYAO VYOTE NDANI YA CHADEMA
Kikao cha Kamati Kuu ndiyo kimeisha muda huu, na taarifa zilizopo ni kwamba kambi ya PM7 imevunjwa rasmi baada ya viongozi wake kuvuliwa vyeo vyote walivyo navyo ndani ya chama.Waliovuliwa vyeo ni...
View ArticleKOVA AMTAJA ANAYESHIKILIA LAPTOP YA MVUNGI
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Sulaiman KovaKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Sulaiman Kova, amemtaja mkazi mmoja wa Jiji la Dar es Salaam kwamba ndiye anayeishikilia...
View ArticleANGALIA PICHA ZA MNYAMA WA AJABU ANAYESADIKIKA KUWA NA UMBO KUBWA KULIKO WOTE...
MNYAMA huyu wa maajabu mkubwa kupita kiasi alionekana huko Vietnam mwaka 2013.Ni balaa...!!!
View ArticleWATU KUMI WANAOTUHUMIWA KUMUUA DK SENGONDO MVUNGI
Majambazi kumi wanaodaiwa kumuua Dr. Segondo Mvungi wamefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu na kusomewa shitaka la kumuua Dr. Mvungi.Kesi imesomwa na Hakimu Mkazi Sundi Fimbo ambapo...
View ArticleKAMA UCHAGUZI WA TANZANIA UNGEKUWA LEO HII..KURA YAKO UNGEMPA NANI???
The next Tanzania's General Elections a re almost two years away. To be exact, Tanzanians [registered voters of course] will be on hopeful long ques in October 2015 to elect the next President of The...
View ArticleQ-CHILLA ASIKITISHWA NA JINSI WASANII WALIVYOKUWA KIMYA KWENYE RUFAA YA BABU...
Muimbaji wa ‘Beautiful’ Q-Chilla amesema amesikitishwa na jinsi wasanii wenzake walivyokuwa kimya kwenye rufaa ya Babu Seya na Papii Kocha ambao rufaa yao imekataliwa leo na hivyo kuendelea na kifungo...
View ArticleHII NOOMA!! SAMSUNG WAMEWALIPA APPLE DOLA BILLIONI MOJA KWA SARAFU AMBAZO...
This morning more than 30 trucks filled with 5-cent coins arrived at Apple’s headquarters in California. Initially, the security company that protects the facility said the trucks were in the wrong...
View ArticleSOMA ALICHOKIANDIKA REGINALD MENGI NA AFANDE SELE KUHUSU WAZIRI MUHOGO JUU YA...
Mikoa mbalimbali ya Tanzania sasa hivi ipo kwenye mgao wa umeme wa siku kumi uliotangazwa na Tanesco siku kadhaa zilizopita ambapo maeneo mengine wamelalamika umeme kukatika kwa zaidi ya saa 15.
View ArticleANUSURIKA KUZIKWA AKIWA HAI MBEYA VIJIJINI
IKIWA zimepita wiki takribani mbili baada ya mwanaume mmoja kuzikwa akiwa hai eneo la kijiji cha Mshewe wilaya ya Mbeya Vijijini mkoan hapa, mwanaume mwingine wa kijiji cha Shilanga wilayani humo,...
View ArticleANGALIA MUONEKANO WA WA JUKWAA LA P~ SQUARE LIVE IN DAR HATUA ZA MWANZO
Ikiwa imebaki siku moja tu kabla ya show ya kihistoria inayosubiriwa na wengi kufanyika ndani ya viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam, tayari jukwaa litakalotumiwa na wasanii wanne kutoka hapa...
View ArticleMWANAMKE ALALA NA MAITI YA MUME WAKE KWA MWAKA MMOJA KATIKA KITANDA...
Inakuwa ni jambo gumu sana kuliamini hasa kabla haujatazama ni nini kilicho tokeawakati huo 2012, ambapo mwanamke mmoja aliamua kulala na maiti ya mume wake katika kitanda kimoja kwa kipindi kinacho...
View ArticleANGALIA PICHA ZA P SQUARE WALIVYOWASILI JIJINI DAR TAYARI KWA MAKAMUZI
Wanamuziki wanaotajwa kuwa na mvuto zaidi barani Afrika, P Square, wamewasili usiku huu katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere kwa ajili ya onesho lao linalotarajiwa kufanyika Jumamosi hii...
View Article
More Pages to Explore .....